Friday, October 19, 2012

KAMATI YA BUNGE INAYOSHUGHUKIA UUNDWAJI WA SHERIA NDOGO NDOGO YAMALIZA KAZI YAKE KAGERA

Mkuu wa mkoa wa kagera kanali mstaafu Fabian Massawe akipongezana na mwenyekiti wa kamati ya bunge inayoghulikia sheria ndodo ndogo baada ya kikao cha majumuisho za ziara ya kamati hiyo kilichofanyika kwenye ukumbi wa mkuu wa mkoa wa Kagera.
Baadhi ya watendaji wa halmashauri ya wilaya ya Bukoba.
 Mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Muleba, Richard Katomero (kushoto).
Massawe akiongea na watendaji wa halmashauri za wilaya na manispaa.

No comments:

Post a Comment