Sunday, September 30, 2012

WAMACHINGA WAENDELEA KUYAVAMIA MAENEO YA MANISPAA

 Wamachinga wakiwa wakiuza bidhaa zao kwenye maeneo waliyoyavamia ya manispaa ya Bukoba.
 Eneo lililovamiwa na wamachinga lililo karibu na msikiti wa ijumaa.
Wamachinga wakiuza bidhaa zao kando ya barabara ielekeayo hospitali kuu ya mkoa.

No comments:

Post a Comment