Sunday, September 30, 2012

UCHAGUZI WA CCM KATAVI

Waziri Mkuu,Mizengo Pinda ambaye ni Mjumbe wa kamati Kuu ya CCM akifungua mkutano mkuu wa Uchaguzi wa  CCM  wilaya za Mlele na Mpanda mkoani Katavi kwenye Shule ya Sekondari ya Wazazi ya Milala wilayani Mpanda, Septemba 30,2012. (Picha na Ofisi ya Waziri  Mkuu)

No comments:

Post a Comment