Thursday, September 27, 2012

CHUO KIKUU cha St. AUGUSTINO CHAZINDUA MWAKA WA MASOMO


 Askofu Nestory Timanywa akiendesha ibada ya uzinduzi wa mwaka wa masoko wa chuo cha Mtakatifu Francis Tawi la Bukoba liliko Nkindo.
Baadhi ya wanafunzi wa chuo cha Mtakatifu Francis.
 Askofu Nestory Timanywa askofu mkuu wa jimbo la Bukoba akisikiliza mada zilizokuwa zikitolewa na wahadhiri wa chuo kikuu cha mtakatifu Augustino wakati wa uzinduzi wa mwaka wa masomo.
Askofu Kilaini asikiliza mada, kulia ni Profesa Babyegeya na katikati ni padre Mrosso.

No comments:

Post a Comment